Bado unasaka waks JKIA?

November 25 2014 12:18pm     0 296

Photo Credit:Google   Tingua risto

Kama wesewe ni wale wasee hutamani kuwai waks area nifla eti juu ya prestige, itabaki umeumia vimost. Sa kuna reports zimetoka airport, ikidaishwa  wadhii wanado janta hizo mayadi wanakapitia ajaabu.

Kumbe wamekuwa wakimistreatiwa na hanaku msee analilia haki zao bana. Ikianzia na unhygienic working conditions, njaro hubidi wanatuna ninda ya majuala, alafu hawajawai geiwa gloves za kuhandle luggage zenye matime hukua na stuff suspicious. Especially hizi enzi za ebola inafaa pia wao kujichunga na chenye wanashika shika. Pia kumbe management imewakazia kuenda njei kuboti keroma, hadi inabidi wanakuwa machokosh na kusaka dema kwa tako.

Alafu salo ni pienga, bila promo kwa waks ama ata kuongezea mshande. Ikiwa msee hulipwa nichi ya thao kinde na ngovo alafu eti inadaishwa wakona doh ya overtime (sh2,700) na house allowance ya thao jamo, soh sita na ninety. Ni keja gani hiyo kanairo italipishwa rent ngiri, si labda uende kwa slum !

Kwa risto ya overtime, wanalazimishwa kukuwa janta zaidi ya masaa 15, wakati kwa contract inashow wanafaa kukuwa wera masaa 8 pekee. Na bado baada ya kukaa hivyo vyote, buu za kuwapeleka mtaani hukosa kukam ama kumuja kama zimechelewa. Na ukijaribu kuhata kufika waks,lazima kuchujwa soh punch,sabini na ngovo.

Ukidhani kukandamiza imefikia hapo, utachoka ukijua msee amewai waks inengi Qatar ama Dubz, huchomewa mbisha na wadosi ndio asichukuliwe. Na eti ni wakenya kama sisi ? Sema kutumia watu vibaya !

Related Stories