Gava inadai kuban mtush

February 25 2015 4:33pm     0 259

Photo Credit:Google   Tingua risto

Kuna mraa inaendelea, ikidaishwa gava za East Africa zinapanga kuban mtush. Ambapo watastopisha importation ya cladi na njuta zote za 2nd hand, zinatoka majuu. Na hii riba italeta ngori haijuani kwa hii industry ya mitush.

Venye maprezo walipatana kwa summit ya kinde na six ya East Africa, waliamua itakuwa fiti kuchuja mtush kwa bizna ata ikiwa inaingiza mamilli, eti ndio waweze kuboost local textile na leather industries.

Eti kudiscourage imports za mtush,  gava imekuwa  ikihike tax za imports. Lakini  tangu Uhunye kuingia Orezo, alidundisha izo rates kiasi kutoka $0.30(sh27)per kilo to $ 0.20(sh18)per kilo.

Kumaanisha hizo gava zimekubali hii risto, zitalazimika kumoderate prices za hizi products. Sa blanda itaangukia maasafara wenye wamekuwa wakiweza kuafford cladi za mtush solo. Manze wataumia kama hii mradi itaendelea.

Related Stories