Msus amejimekia jina New york

April 30 2015 1:21pm     0 377

Photo Credit:NYTimes   Tingua risto

Eunice Akoth akiwa na miaka kinde solo, ameweza kubeat struggles za life yake na kushow waniaju wenzake wakona chance ya kufikish dreams zao kukuwa reality. Aliweza kutumia talanta yake kuexpress venye anafeel kuhusu opportunity ameget ya kuchop.

Eunice alisoma poem yake mara ya fao lembe ya audience yenye ilikuwa imemuja kwa Women in the World Summit husuko New York. Alibonga kuhusu life yake mtaani Kibich, na venye anadaisha education kufikia waniaju kama yeseye.

At least dream yake iliweza kuibuka through help ya mzaliwa na founder wa chuo yenye Eunice anachopia, Kennedy Odede na wifey wa kwake Jessica Posner Odede, kama project ya Shinning Hope for Communities Foundation. Hasapa wanapatia mambuus chance ya kuwai education sare, alafu pia kuna riba za health care na hadi kushughulikia waba safi.

Kennedy pia alishare risto yake na venye alikapitia akijaribu kuhustle kwa slum na tama yake ya kuenda chuo na venye alirudi kusucceed, hadi akamanage kufika majuu na kuchop. Lakini ata hivyo alicheki heri kurudi mtaani kusaidia madem, wenye hawana mtetezi ninda ya slum.

Eunice hakuweza shikilia emotions zake coz  ashapata vision ya kuenda far vile anafwanana. Enyewe inafaa tuchangamke na kuanza kuchukulia vitu viserious. Hii risto ya kubeba mambo kiholela inafaa kudie. 

 

Related Stories