Msuus kanjotika!
January 6 2014 5:21pm
0
380
Photo Credit:Hit Fix Tingua risto
Kuna manzi nifla wa Oteto mwenye alibaki ame njotika for a full three hours after kubinjana na boy wake. Anadai alishangaa sana kile inafanyika. Sa alijaribu kuruka ruka ndio hiyo feeling idedi lakini wapi! Akarudi akajaribu kunywaku wine na bado netin. Hasapo ikabidi hubby amemhepesha hosi juu situaion ilikua gwan sana. Manurse nao walidhani anaget mniaju. Sema kustaajabu ya Musa?