Venezuela wamemada elections zao
October 8 2012 2:21pm
0
703
Photo Credit:John Rossomando Tingua risto
Huyu mdabus, Hugo Chavez amekwachu hio kiti ya orezo mara ya nyei sasa after wathii wa Venezuela wamge ma kura hii wiki imepita. Ilikua election ya vungu sana, wathii wengine hawakua wanaona ene....Unaona nani atakwachu elections next year hapa mtaani?