Biz ya omba omba!

March 5 2015 12:36pm     0 109

Photo Credit:Google   Tingua risto

Ushawai kenga vifiti hao machokosh na beggars wenye hukuwa kwa streets za jiji? Unadhani ni wote wako genuine ikimuja kukuwa wamechapa juu ya poverty ama ni bizna wanarun?

Kuna mudhii alifanya survey ya beggars wa Bankok na Cambodia na alirudi kurada kuna wasee wanatumia hii mraa kuomoka. Kwanza ni njaro rahisi sana ya kuwai mkwanja. Bora umewai wamatha kadhaa, wakae wachafu na wakiwa na uso zinakaa shida na stress za maisha, wanabeba waniaju wamedoze kwa mikono zao na cheddars zitamuja zikifly.

Alafu wao hukubali kupewa ata keroma na waba, wakati well-wishers hawana mkwanja ya kugeiyana. Lakini kuna kitu huyu mjamaa alishangazwa nayo sana. Aligundua wa wale omba omba wote alicheki, watoi wao walishinda wametuna siku nzima.

Alifanya kuuliza beggar mjamo lakini akachujwa na raiya juu walidhani anachokoza chokosh juu hajiwezi. Alirudi tena nab ado hakutoka amejibiwa. Ilibidi amewaitia makarao, lakini wakahepa kabla wapatikane. Kumaanisha kulikuwa na blanda nifla.

Aliendelea kupiga investigation na alipata kumbe, hao watoi hukuwa wamekombolewa ama ata kugoswa kwa mitaa kadhaa alafu wanadopiwa either na tap tap kama heroin na kugeiwa tei ndio washinde wametuna, alafu wasisumbue. Ngori hurudi kutokelezea, wakioverdoziwa, juu mwili ya mtoi haiwezi handle madre, inabaki wanagenya na hanaku msee hujali.

Sa wakati unapeana mkwanja kwa street jiulize ni nani unasaidia? Unaweza kuwa unajivako eti umewai famo keroma yao ya siku lakini kumbe unachangia watoi kudedi.

Related Stories