Siku Nai ilitry kutake over Macha!
Photo Credit:Google Tingua ristoKama kuna raiya husaka place ya kuenda, ni wadhii wa Nairobbery. Sijui kama ni kiblanda ya kuishi jiji, hadi inabidi wasee kushika tamaa ya kuona area zingine! Ama huwa wanasaka excuse ya kupata place wanaweza kujiwachilia na kuact viratchet kuruka.
Ndiwike imepass, kulikua na Masaku 7’s hasapo Macha, na kama kawa Nai mzima ikamaha hivyo. Usione venye walipeleka umauru yao yote huko. Juu ile traffic jam waliwekelea ndio ilikua inaingiza ugonjwa.
Kuna wadhii wanadai walikaa kwa jam zaidi ya 6hours. Niko sure wale wengi hawakuweza ta kuwatch game jamo. Isitoshe, the same day, kulikua na graduation ya Daystar yuni alafu pia magava walikua wanafika kwa burial ya General Mulinge.
Alafu bado nipate msee akiniringia hapo ati ulihata mjamaa! Acha ikae…




