Macatho wasikubali kukuwa sunguch

January 21 2015 10:53am     0 371

Photo Credit:Google   Tingua risto

Pope Francis alikuwa anapiga raundi husuko Phillipines, area alipatana na mthama alikuwa amerisk maisha yake kuweza kuzaa waniaju wasaba. Hanaku noma kuget watoi lakini ni blanda ikiwa inaongezea masaibu kwa mapero.

Inatambulika poa kwamba macatho hawatumiangi artificial contraceptives na kuzidisha imewekwa marufuku ata kufikiria risto za abortion. Lakini kulingana na Pope francis, hii sio excuse ya kuzaa kama sunguch. Inafaa waumini kukaa rada. Wanaweza pia try natural contraceptive, kama kujiabstain from lungula. Sana sana matime manzi ako fertile.

Sijui kama hii mradi itaweza juu mbana ya mambuu wale hujipata na unwanted pregnancies inazidi kupanda. Alafu wale wengi huenda kwa makuruti kuwai abortion chini ya waba, alafu wanagenya kiufala. Kuna noma gani mbuus akiamua kujitoa kwa hii risk na kumeza tembe za family planning ama kutumia kondiecha?

Related Stories