Vita against keroro…

July 6 2015 1:49pm     0 624

Photo Credit:Google   Tingua risto

Kumekuwa na campaign jamo fyam against tei zile imbo na ulevi kimoja. Wamatha kila county husuku 254, lakini sana sana husuko Central, wamekuwa wakizusha vile mayut na mahazii wamekuwa ovyo juu ya kushinda wakikata maji.

Tumekuwa tukicheki NACADA, makarao wakishikana na machief, na wamasa wa community kuenda kuraid machwom zinamekisha na kukinda cham, na tei zinengi illegal. Oduko za wines and spirits hazikuwachiwa na search ilizidi hadi kwa mabaesa na keja za wadhii wanatambulika kurun hizo bizna za kukinda keroro.

Blanda ni eti, kuna keroro denuine zimechomwa na kuingizia EABL hasara jamo bwaku ajaabu. Inadaishwa kwa crackdown jamo ya hizo illicit liquor yenye ilifanywa husuko Central na MP Mary Wambui, waliweza destroy keroro worth sh3.4 million.

Inakaa hanaku mpango ya venye kusort hiyo shida ya ulevi kwa society. Lakini chenye wanafaa kukuwa wakido, ni kutinga zile biz hazina licence ya kumekisha na kukinda  tei yenye imekubalika na gava. Sahii imekuwa njaro tu ya kuharibia mabizna na kuongezeana hasara bure.

Related Stories