Huyu boiz Lucas
November 28 2012 1:48pm
0
315
Photo Credit:Lucas Leiva Tingua risto
After kukaa mtaani juu ya injury, Lucas Leiva anarudi kwa squodi ya Liverpool. Dongera anadaisha sasa watakua wanakung'uta team zingine vifyam na kuna vile trophy inaingia kwao. Unayebi Lucas atafanya mambo ama ni pang'ang'a tu za kawaida?