Ridhe zimechorwa majina za mayut

June 9 2015 11:54am     0 2158

Photo Credit:Google   Tingua risto

Kwa report nifla ya makarao, ilidaisha eti kati ya miezi za Jan na May 2014, kulikuwa na zaidi ya thao salasa kwa incidences za crime, na zile kibao ziliishia na mayut kumadwa. Ikiwa ni waniaju wa miaka kinde na nnei.

Alafu bado gava haina shughuli ya kusave hiyo situation. Blanda ikiwa kanairo inazidi kujaza slums na mayut wenye wako desperate wakidaisha kumekisha ganji fasta. Ambapo janta za kawa either hazipatikani ama haziwezi kuprovide mkwanja mbio.

Zaidi ya kukuwa trapped ninda ya hizi mayadi zenye zimesota kuruka, mayut wengi hujipata wakiwa idle baada ya seko na peer pressure kuwaingiza kwa life ya crime. Ikiwa mwisho ya education basi wanabaki na lifestyle ya kungoja kugenya anytime kwa mikono za makarao.

Damu ya hawa mayut itazidi kumwagika juu hanaku msee kwa society anataka kuchukulia hii risto viserious. Wasee wote kutoka mapero, maodijo, maneighbor wamedinda kumentor waniaju ndio wachague paths poa kwa maisha.

Badala yake wanakubalisha watoi kukimbia mitaani wakiwa na mabunde wameuziwa na wadhii wamegrow kutenda visanga. Alafu wakishamadwa kwa street ndio kilio hujaa ikidaishwa makarao wamekuwa ruthless. Enyewe hanaku future hapa.

Related Stories