UG wameshinda 254 kwa Ngoso

February 3 2015 12:24pm     0 426

Photo Credit:Google   Tingua risto

Eti Afrika nzima, inasemekana UG ni wa noma zaidi ikimuja kubonga kilami. Hiyo study ilifanywa baada videsa ya Miss Rwanda kusambaa, ikishowvenye alikuwa na mablanda akitry kuchop ngoso. Yaani hadi Nigeria wametushinda juu kumbe wanaweza kujenga sentences poa zenye hazina blanda za grammar.

List yenyewe iko hisivi:

1. Uganda

2. South Africa

3. Nigeria

4. Kenya

5. Zambia

6. Botswana

7. Zimbabwe

8. Malawi

9. Ghana

10. Rwanda

11. Sudan

Kuna venye UG pia wamemekisha Sheng yao, lakini wakitumia word za ngoso, inatambulika kama Uglish. Influence ya hii lugha ikitoka kwa Luganda na dialects zinengi za husuko kwao. Alafu ukiweza kuskiza iko funny na strange lakini bora unatambua kilami, haitakupita sana. Unaweza yebi mfano kiasi ya words wanabonga, kukaa rada nazo tu;

   Avail – to make something available

   Beep – to call someone once and hang up before they pick up

   Benching – dropping in on someone you might have a romantic interest in

   Bounce – to arrive somewhere and find someone there or

                - to be turned away from an event

   Buffalo – someone who uses incorrect or inarticulate English words

   Bullet – a leaked exam paper

    Cowardise – to behave timidly or like a coward

    Dirten – to make something dirty

    Live sex – to have unprotected sex

    Mazongoto – a big bed

    Side dish – somebody’s mistress

    Special – an individual taxi

     (special because a 14 seater taxi is the most common form of transport)

    Vacist – a student on holiday

    Waragi – a popular Ugandan crude gin, with high concentrations of alcohol.

                -Also used derisively about a drunk person

    Wiseaching – acting like a wiseacre

    Wolokosso – loose talk.

Related Stories